Parapanda itapigwa itapigwa
Parapanda itasika itasikika
Hapo ndipo mfalme wa haki atakapotawala
Hapo ndipo mfalme wa kweli atakapotawala
Maana dunia ya leo watu wanabebeana
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana
Atatawala mwenye dunia
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana
Hapo ndipo falme zote za dunia zitanyamaza
Mwenye wa kweli atawala
Atasimamia mahakama zote kwa haki
Atasimamia kesi zote kwa haki
Kila mmoja atalipwa sawa
Dunia yote itatiishwa kwenye uweza wake
Dunia yote itashangaa alivyo wa haki
Mataifa watajua yeye ni mwema
Hapo ndipo wote tutajua yeye ni baba
Dunia yote itaelewa ni Mungu wa haki
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana
Atatawala asiyejua pendelea mwingine
Watu wa leo wanatazama sifa ya mtu
Majira yanakuja ya kujua baba wa kweli
Majira yanafika watamjua Mungu wetu
Leo hawatambua machozi tunayolia
Leo hata ukilia hakuna wa kutazama
Hata ukiteswa hakuna wa kutazama
Wakati unapo janga atatawala kwa haki
Hapo ndipo falme zitajua yeye ni mfalme
Hapo ndipo dunia itaelewa yeye ni Bwana
Tutapanguzwa machozi yetu na sisi
Tutaheshimiwa na dunia na sisi
Tutaheshimiwa na watu wote na sisi
Hawawezi tambua haki yako leo hii
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana
Hakuna wa kutetea maisha yangu
Watawala wa leo wanapendeleana
Anakuja mtawala wa haki kutusaidia
Utarahi na Baba
Tutashangilia kwa Baba
Maana ufalme wake Baba utakuwa ni wenye haki
Baba yetu akitawala
Atatawala haaa
Atatawala haaa
Atatawala haaa
Atatawala haaa
...
Muhukumu Wa Haki
Muhukumu Wa Haki Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration
Martha Mwaipaja's song "Muhukumu Wa Haki" (The Righteous Judge), released on April 23, 2020, is a powerful gospel anthem centered on the Christian eschatological hope of the second coming of Jesus Christ. The lyrics paint a vivid picture of this anticipated event, heralded by the sound of a trumpet (parapanda), signifying the imminent return of the King of Righteousness and Truth. The song immediately establishes a contrast between the current state of the world, marked by favoritism and injustice ("dunia ya leo watu wanabebeana," "wanapendeleana"), and the perfect, equitable rule that is to come.
The core message strongly critiques the contemporary world's systems and human nature, where partiality often overrides fairness, and suffering goes unnoticed or unaddressed. The lyrics lament the lack of true justice and compassion in present times, noting that people "wanatazama sifa ya mtu" (look at a person's reputation) and there is "hakuna wa kutetea maisha yangu" (no one to defend my life) or even "hakuna wa kutazama" (no one to look at/care) when one cries or is persecuted. This portrayal of the present world underscores the deep longing for a different kind of ruler and a different kind of kingdom.
This yearning finds its answer in the arrival of the Righteous Judge. The song declares that when He reigns, all earthly kingdoms ("falme zote za dunia") will become silent. He will preside over all courts and cases with absolute fairness, ensuring that "Kila mmoja atalipwa sawa" (Each one will be paid equally). The coming reign will be characterized by divine authority before which the entire world will bow and wonder at His righteousness. Nations will come to know His goodness, and all will finally understand that He is indeed the true God, the Father, the King, and the Lord who knows no favoritism.
For those who have endured injustice and sorrow in the current world, the song offers a profound sense of hope and vindication. It promises that their tears will be wiped away, and they will be honored ("Tutaheshimiwa na dunia na sisi," "Tutaheshimiwa na watu wote na sisi"). Where there was no defense before, the coming Righteous Ruler will provide it. The ultimate outcome is portrayed as rest ("Utarahi na Baba") and rejoicing ("Tutashangilia kwa Baba") in the presence of the Father, whose kingdom will be inherently just. These themes resonate deeply with scriptural promises found in texts describing Christ's return, the final judgment, and the establishment of the new heavens and earth, such as found in books like Matthew (e.g., chapter 25), 1 Thessalonians (e.g., chapter 4), 1 Corinthians (e.g., chapter 15), Isaiah (e.g., chapter 11), Psalms (e.g., Psalm 96), and Revelation (e.g., chapters 11, 20, 21). The repetition of "Atatawala haaa" serves as a powerful, unwavering affirmation of the certainty of His coming reign and the hope it brings.