Martha Mwaipaja - Muhukumu Wa Haki Lyrics

Muhukumu Wa Haki Lyrics

Parapanda itapigwa itapigwa 
Parapanda itasika itasikika 
Hapo ndipo mfalme wa haki atakapotawala 
Hapo ndipo mfalme wa kweli atakapotawala 
Maana dunia ya leo watu wanabebeana 
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana
Atatawala mwenye dunia 
Maana dunia ya leo watu wanapendeleana 

Hapo ndipo falme zote za dunia zitanyamaza 
Mwenye wa kweli atawala 
Atasimamia mahakama zote kwa haki 
Atasimamia kesi zote kwa haki 
Kila mmoja atalipwa sawa 

Dunia yote itatiishwa kwenye uweza wake 
Dunia yote itashangaa alivyo wa haki 
Mataifa watajua yeye ni mwema 
Hapo ndipo wote tutajua yeye ni baba 
Dunia yote itaelewa ni Mungu wa haki 
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana 
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana 
Atatawala asiyejua pendelea mwingine 
Watu wa leo wanatazama sifa ya mtu 

Majira yanakuja ya kujua baba wa kweli 
Majira yanafika watamjua Mungu wetu 
Leo hawatambua machozi tunayolia 
Leo hata ukilia hakuna wa kutazama 
Hata ukiteswa hakuna wa kutazama 
Wakati unapo janga atatawala kwa haki 
Hapo ndipo falme zitajua yeye ni mfalme 
Hapo ndipo dunia itaelewa yeye ni Bwana 

Tutapanguzwa machozi yetu na sisi 
Tutaheshimiwa na dunia na sisi 
Tutaheshimiwa na watu wote na sisi 
Hawawezi tambua haki yako leo hii 
Maana dunia ya leo watu wanasaidiana 
Hakuna wa kutetea maisha yangu 
Watawala wa leo wanapendeleana 
Anakuja mtawala wa haki kutusaidia 
Utarahi na Baba 
Tutashangilia kwa Baba 
Maana ufalme wake Baba utakuwa ni wenye haki 
Baba yetu akitawala 

Atatawala haaa 
Atatawala haaa 
Atatawala haaa 
Atatawala haaa 
...


Muhukumu Wa Haki

Muhukumu Wa Haki Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration

Martha Mwaipaja's song "Muhukumu Wa Haki" (The Righteous Judge), released on April 23, 2020, is a powerful gospel anthem centered on the Christian eschatological hope of the second coming of Jesus Christ. The lyrics paint a vivid picture of this anticipated event, heralded by the sound of a trumpet (parapanda), signifying the imminent return of the King of Righteousness and Truth. The song immediately establishes a contrast between the current state of the world, marked by favoritism and injustice ("dunia ya leo watu wanabebeana," "wanapendeleana"), and the perfect, equitable rule that is to come.

The core message strongly critiques the contemporary world's systems and human nature, where partiality often overrides fairness, and suffering goes unnoticed or unaddressed. The lyrics lament the lack of true justice and compassion in present times, noting that people "wanatazama sifa ya mtu" (look at a person's reputation) and there is "hakuna wa kutetea maisha yangu" (no one to defend my life) or even "hakuna wa kutazama" (no one to look at/care) when one cries or is persecuted. This portrayal of the present world underscores the deep longing for a different kind of ruler and a different kind of kingdom.

This yearning finds its answer in the arrival of the Righteous Judge. The song declares that when He reigns, all earthly kingdoms ("falme zote za dunia") will become silent. He will preside over all courts and cases with absolute fairness, ensuring that "Kila mmoja atalipwa sawa" (Each one will be paid equally). The coming reign will be characterized by divine authority before which the entire world will bow and wonder at His righteousness. Nations will come to know His goodness, and all will finally understand that He is indeed the true God, the Father, the King, and the Lord who knows no favoritism.

For those who have endured injustice and sorrow in the current world, the song offers a profound sense of hope and vindication. It promises that their tears will be wiped away, and they will be honored ("Tutaheshimiwa na dunia na sisi," "Tutaheshimiwa na watu wote na sisi"). Where there was no defense before, the coming Righteous Ruler will provide it. The ultimate outcome is portrayed as rest ("Utarahi na Baba") and rejoicing ("Tutashangilia kwa Baba") in the presence of the Father, whose kingdom will be inherently just. These themes resonate deeply with scriptural promises found in texts describing Christ's return, the final judgment, and the establishment of the new heavens and earth, such as found in books like Matthew (e.g., chapter 25), 1 Thessalonians (e.g., chapter 4), 1 Corinthians (e.g., chapter 15), Isaiah (e.g., chapter 11), Psalms (e.g., Psalm 96), and Revelation (e.g., chapters 11, 20, 21). The repetition of "Atatawala haaa" serves as a powerful, unwavering affirmation of the certainty of His coming reign and the hope it brings.

Martha Mwaipaja Songs

Related Songs